Monday 29 March 2010

Karibu sana visiwani kwetu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,DK Amani Abeid Karume,akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania, Heimo Laakkomen, aliyekuja kumuaga huko Ikulu Mjini Zanzibar, baada ya kumaliza muda wake wakazi nchini. (Picha na Ramadhan Othman).

No comments:

Post a Comment