Thursday 25 March 2010

Wabunge, Wawakilishi wapashwa Pemba

Na Bakari Mussa, Pemba
WANANCHI kisiwani Pemba, wameonesha kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na viongozi wao wa majimbo wakiwemo wa Wabunge na Wawakilishi kwa kudai kuwa viongozi hao hawawajali.

Wananchi hao walieleza kuwa matunda ya dharau wanazofanyiwa na viongozi hao watayona na kufaidika nayo katika uchaguzi ujao kwa kuvuna walichokipanda.

Wapiga kura hao walieleza kuwa ahadi nyingi zilizokuwa zikitolewa katika kampeni na kuamua kuwapa kura zao na kukinyima Chama cha Mapinduzi jambo ambalo limechangia kuwapa unyonge mkubwa kwani viongozi waliowanyima kamwe hawajawaonesha kiburi cha aina yoyote.(Kwa habari zaidi soma Zanzibar Leo).

No comments:

Post a Comment