Friday 26 March 2010

NAIBU Waziri Kiongozi na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Ali Juma Shamuhuna akiwasilisha muswaada wa marekebisho ya sheria ya baraza la Michezo la Zanzibar (BTMZ), katika kikao cha Baraza la Wawakilishi kinachoendelea mjini hapa.(Picha na Abdulla Masangu). 

No comments:

Post a Comment