Wednesday 14 July 2010

Mwenyekiti wa kamati


MWENYEKITI wa kamati ya watu sita ya kusimamia utekelezaji wa azimio la la Baraza la Wawakilishi kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar,Ali Mzee Ali (katikati), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kamati hiyo katika ukumbi wa Baraza hilo jana, kushoto mjumbe wa kamati hiyo Ali Abdalla Ali na Katibu wa Baraza Ibrahim Mzee.(Picha na Abdallah Masangu).

No comments:

Post a Comment