Saturday 17 July 2010

Wagombea wetu hawa, mmewaona!


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume akiwatambulisha wagombe wa CCM, Urais wa Zanzibar Ali Mohammed Shein (kushoto), Dk. Mohammed Gharib Bilal.(Picha na Zanzibar Leo).

No comments:

Post a Comment