Saturday 17 July 2010

Natawania Ubunge Mpendae

MUANDISHI Muandamizi wa Shirika la Magazeti ya Serikali, Omar Said Ameir akitangaza nia ya kutaka kuwania Ubunge katika jimbo la Mpendae mbele ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa Habari Maelezo.(Picha na Zanzibar Leo).

No comments:

Post a Comment