Friday 15 July 2011

MKURUGENZI Mkuu Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA,Mustafa Ali Garu akibadilishana hati ya makubaliano ya kuujengea uwezo Mradi mkubwa wa Maji unaoendeshwa na Mamlaka hiyo baada ya kutiliana saini na Mwakilishi wa Kampuni ya NIRAS Michael Juel kutoka Denmark, katikati Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi,Makaazi, maji na Nishati Mwalim Ali Mwalim,(Picha na Abdallah Masangu)

No comments:

Post a Comment