Saturday 23 July 2011

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumina Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee akitiliana saini na Balozi Mdogo wa China aliyepo Zanzibar Chen Qinman, msaada wa kuwawezesha Watendaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupata mafunzo nchini China, utiaji saini huo umefanyika ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga Mjini Zanzibar (Picha na Othman Maulid)   

No comments:

Post a Comment