Tuesday 18 May 2010

Kituo cha Umeme Mtoni

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akiulizaa masula kwa watalamu,wakati alipotembelea sehemu itakayowekwa majenerta ya Akiba pindi Umeme utakapokuwa na Hitilafu huko Mtoni Kituo Kikuu cha Umeme. (Picha na Ramadhan Othman).

No comments:

Post a Comment