Saturday 21 August 2010

MGOMBEA Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao kupitia tiketi ya CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizugumza na wanachama wa Chama hicho baada ya kurejesha fomu ya kugombea Urais Tume ya Uchaguzi (NEC) katika mkutano uliofanyika Afisi Kuu ya CCM Lumumba Mjini Dar-es-Salaam.

No comments:

Post a Comment