Friday 27 August 2010

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,(kushoto) akikagua gwaride la Jeshi la wananchi wa Kenya katika Uwanja wa Ndege wa Nchi hiyo jana,alipohudhuria Uzinduzi wa katiba mpya ya Nchi hiyo, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete,(kulia) mwenyeji wake waziri wa Usafirishaji wa Kenya Chirau Ali Mwakwere.(Picha na Ramadhani Othman.)

No comments:

Post a Comment