Monday 23 August 2010

MWENYEKITI wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Ali Mzee Ali akitowa maelezo kwa Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Alfonso Lenhardt alipotembelea Baraza la Wawakilishi na kupata maelezo ya mafanikio ya kura ya maoni iliofanyika hivi karibuni. lZanzibar 

No comments:

Post a Comment