Monday 26 April 2010

Maadhimisho ya Muungano

VIONGOZI wa kitaifa wakiwa kwenye jukwaa kuu la uwanja wa Uhuru jijini Dar-es-Salaam walipohudhuria sherehe za miaka 46 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. (Picha na Ramadhan Othman).

No comments:

Post a Comment