Friday 30 April 2010



Mkurugenzi Mtendaji wa MCA-T, Bernard Mchomvu (kulia), akisaini mradi wa utengenezaji waya wa umeme kwa niaba ya Tanzania na Tetsuji Ohno anayeiwakilisha Kampuni ya VISCAS- Japan, mradi huo utatumia dola za Marekani 28,210,400 hadi kukamilika kwake Disemba 2012.(Picha na Othman Maulid).

No comments:

Post a Comment