Tuesday 25 January 2011

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mafunzo kwa vitendo ya madaktari wachanga na upasuaji wa ubongo na uti wa mgongo kutoka katika nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini ulifanyika katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar tarehe 24.1.2011. John Lukuwi

No comments:

Post a Comment