Saturday 14 May 2011

MASHABIKI WA SOKO WA ASERNAL

MWENYEKITI  wa ZFA Wilaya ya  Mjini  Hassan  Chura akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Mashabiki  wa Asernal  baada ya kuifunga timu ya  Barcelona katika mchezo wa bonaza la timu za mashabiki wa timu hizi uliofanyika Uwanja wa Mao timu ya Asenal imeshinda 1-0 (Picha na Othman Maulid)

No comments:

Post a Comment