Tuesday 17 May 2011

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akipata maelezo kuhusiana naMtambo wa kisasa wa kuzalisha madume bora  ya ngombe uliopo Maruhubi alipotembelea kituo hicho jana.Anaeeleza maelezo ni Mkuu wea Kituo hicho Dk. Khamis Ibrahim (Picha na Ramadhani Othman )    

No comments:

Post a Comment