Monday 23 May 2011

DK. SHEIN ZIARANI MKOA WA KUSINI UNGUJA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akikagua shamba la mpunga Bambi katika ziara aliyoifanya jana huko wilaya ya kati. kushoto ni Waziri wa Kilimo na Maliasili Mansour Yussuf Himid na katibu mkuu wa wizara hiyo Affan Othman. (Picha na Ramadhan Othman, Ikulu).

No comments:

Post a Comment