Tuesday 28 June 2011

WAZIRI wa Miundombinu na Mawasiliano, Hamad Masoud Hamad, akipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana juu ya tuhuma za rushwa dhidi ya Serikali, zilizoandikwa na gazeti moja la kila wiki (sio Zanzibar Leo) kuhusiana na kiwanja cha Ndege Kisiwani Pemba. (Picha na Abdallah Masangu). 

No comments:

Post a Comment