Tuesday 14 June 2011

WAZIRI wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawake na Watoto Zainab Omar Muhamed akifungua mkutano wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika katika ukumbi wa hoteli ya Bwawani jana,kulia Naibu Katibu Mkuu wizara hiyo Msham Abdallah Khamis na Mwenyekiti wa bodi ya washauri ya Watoto Zanzibar Omar Salum Hamad,(Picha na Abdallah Masangu). 

No comments:

Post a Comment