Monday 25 April 2011

MAEGESHO YAWA SHIDA DARAJANI

UKOSEFU wa maegesho ya magari katika maeneo ya Mji Mkongwe kunasababisha kuegeshwa magari sehemu amboyo hairuhusiwi kuweka gari kama inavyoonekana eneo hili la darajani likiwa na bango hil linavyosomeka hairuhusiwi kuweka gari na faini yake ukiegesha.(Picha na Othman Maulid)

No comments:

Post a Comment