Friday 29 April 2011

UZINDUZI MASHINDANO YA KLABU BINGWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI ZANZIBAR.

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akirusha mpira kuashiria kuyazinduwa Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati  yanayofanyika katika Uwanja wa Gymkhana. ikizikutanisha timu za NIC ya Uganda na Mafunzo ya Zanzibar.(Picha na Othman Maulid)

No comments:

Post a Comment