Thursday 28 April 2011

RAIS WA ZANZIBAR SAFARINI UTURUKI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akizungumza  na Makamu wa Kwanza wa Rais  Zanzibar Maalim Seif Shariff, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume  kabla ya kuondoka Nchini kwenda Nchini Uturuki.(Picha na Othman Maulid) 

No comments:

Post a Comment