Sunday 24 April 2011

MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la  Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein akiwahutubia Wananchi wa Kijiji cha Makunduchi wakati wa ziara yake ya kutembelea Vikundi vya Ushirika vya Wanawake wa Mkoa wa Kusini Unguja, akiwa katika Viwanja vya Skuli ya Kiongoni Makunduchi.(Picha na OthmanMaulid)   

No comments:

Post a Comment