Thursday 28 April 2011

MKE WA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS MAMA AWENA ATOA VIFAA KIVUNGE.

MKE wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mama  Awena Seif Shariff (kushoto)akimkabidhi Naibu Waziri wa Afya Dk. Sira Ubwa Mamboya msaada wa Vifaa vya Hospitali kwa ajili ya Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Vifaa hivyo vimetolewa na Umoja wa Kinamama wa CUF.(Picha na  AMKR) 

No comments:

Post a Comment